Jó 32

SWHONEN

1 Basi watu hawa watatu wakaacha kumjibu Ayubu, kwa kuwa alikuwa mwadilifu machoni pake mwenyewe.

2 Lakini Elihu mwana wa Barakeli, wa kabila la Buzi wa jamaa ya Ramu, akamkasirikia sana Ayubu, kwa sababu ya kujihesabia haki mwenyewe badala ya Mungu.

3 Pia aliwakasirikia hao rafiki watatu wa Ayubu, kwa sababu hawakuweza kupata njia ya kuthibitisha ya kuwa hayo maneno ya Ayubu hayakuwa ya kweli, nao bado walikuwa wamemlaumu.

4 Basi Elihu alikuwa amesubiri kwanza waongee na Ayubu kwa sababu walikuwa na umri mkubwa kumliko yeye.

5 Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.

6 Basi Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi akasema:

7 Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme,

8 Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu,

9 Sio wazee peke yao walio na hekima,

10 “Kwa hiyo nasema: Nisikilizeni mimi;

11 Nilingojea mlipokuwa mnaongea,

12 niliwasikiliza kwa makini.

13 Msiseme, ‘Tumepata hekima;

14 Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu,

15 “Wametiwa hofu na hawana la zaidi la kusema;

16 Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya,

17 Mimi nami nitakuwa na la kusema;

18 Kwa kuwa nimejawa na maneno,

19 ndani yangu niko kama chupa iliyojazwa divai,

20 Ni lazima niseme ili niweze kutulia;

21 Sitampendelea mtu yeyote,

22 kwa kuwa kama ningekuwa stadi wa kujipendekeza,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado