1 Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
2 “Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita,
3 wakati taa yake iliniangazia kichwani changu,
4 Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu,
5 wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami,
6 wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi,
7 “Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji
8 vijana waliniona wakakaa kando,
9 wakuu wakaacha kuzungumza
10 wenye vyeo wakanyamazishwa,
11 Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu,
12 kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada,
13 Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki,
14 Niliivaa haki kama vazi langu;
15 Nilikuwa macho ya kipofu
16 Nilikuwa baba kwa mhitaji;
17 Niliyavunja meno makali ya waovu,
18 “Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe,
19 Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji,
20 Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu,
21 “Watu walinisikiliza kwa tumaini,
22 Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi;
23 Waliningojea kama manyunyu ya mvua
24 Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha;
25 Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao;