Jó 30

SWHONEN

1 “Lakini sasa watu wadogo kwa umri kuniliko wananidhihaki,

2 Nguvu za mikono yao zingekuwa na faida gani kwangu,

3 Wakiwa wamekonda kutokana na kupungukiwa na kwa njaa,

4 Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi,

5 Walifukuzwa mbali na watu wao,

6 Walilazimika kuishi katika mikondo ya vijito vilivyokauka,

7 Kwenye vichaka walilia kama punda,

8 Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya,

9 “Nao sasa wana wao wananidhihaki katika nyimbo;

10 Wananichukia sana na kujitenga nami,

11 Sasa kwa kuwa Mungu ameilegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa,

12 Kuume kwangu kundi linashambulia;

13 Huizuia njia yangu,

14 Wananijia kama watu wapitao katika ufa mpana;

15 Vitisho vimenifunika;

16 “Sasa maisha yangu yamefikia mwisho;

17 Usiku mifupa yangu inachoma;

18 Kwa uwezo wake mkuu Mungu huwa kwangu kama nguo;

19 Yeye amenitupa kwenye matope,

20 “Ee Bwana, ninakulilia wewe lakini hunijibu;

21 Wewe unanigeukia bila huruma;

22 Unaninyakua na kunipeperusha kwa upepo;

23 Ninajua utanileta mpaka kifoni,

24 “Hakika hakuna yeyote amshambuliaye mhitaji,

25 Je, sikulia kwa ajili ya wale waliokuwa katika taabu?

26 Lakini nilipotazamia mema, mabaya yalinijia;

27 Kusukwasukwa ndani yangu kamwe hakutulii;

28 Ninazunguka nikiwa nimeungua, lakini si kwa jua;

29 Nimekuwa ndugu wa mbweha,

30 Ngozi yangu imekuwa nyeusi nayo inachunika;

31 Kinubi changu kimegeuka kuwa maombolezo,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado