1 Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
2 “Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu,
3 kwa muda wote nitakaokuwa na uhai ndani yangu,
4 midomo yangu haitanena uovu,
5 Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi;
6 Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha;
7 “Watesi wangu wawe kama waovu,
8 Kwa maana mtu asiyemcha Mungu
9 Je, Mungu husikiliza kilio chake,
10 Je, anaweza kumfurahia Mwenyezi?
11 “Nitawafundisha juu ya uweza wa Mungu;
12 Ninyi nyote mmeona hili wenyewe.
13 “Hili ndilo fungu ambalo Mungu humpa mtu mwovu,
14 Hata kama watoto wake watakuwa wengi kiasi gani,
15 Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao,
16 Ajapokusanya fedha nyingi kama mavumbi,
17 yale yote mtu mwovu aliyojiwekea akiba, mwenye haki atayavaa,
18 Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui,
19 Yeye hulala akiwa tajiri, lakini ndiyo mara ya mwisho;
20 Vitisho humjia kama mafuriko;
21 Upepo mkali wa mashariki humchukua, naye hutoweka;
22 Humvurumisha bila huruma,
23 Upepo humpigia makofi kwa dharau,