Jó 26

SWHONEN

1 Kisha Ayubu akajibu:

2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?

4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?

5 “Wafu wako katika maumivu makuu,

6 Mauti iko wazi mbele za Mungu;

7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;

8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake,

9 Huufunika uso wa mwezi mpevu,

10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,

11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,

12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;

13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake;

14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado