1 Kisha Ayubu akajibu:
2 “Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!
3 Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?
4 Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?
5 “Wafu wako katika maumivu makuu,
6 Mauti iko wazi mbele za Mungu;
7 Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;
8 Huyafungia maji kwenye mawingu yake,
9 Huufunika uso wa mwezi mpevu,
10 Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,
11 Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,
12 Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;
13 Aliisafisha anga kwa pumzi yake;
14 Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;