1 Ndipo Bildadi Mshuhi akajibu:
2 “Mamlaka na kuheshimiwa ni vyake Mungu;
3 Je, majeshi yake yaweza kuhesabika?
4 Mtu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu?
5 Ikiwa hata mwezi sio mwangavu
6 sembuse mtu ambaye ni funza:
SWHONEN
1 Ndipo Bildadi Mshuhi akajibu:
2 “Mamlaka na kuheshimiwa ni vyake Mungu;
3 Je, majeshi yake yaweza kuhesabika?
4 Mtu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu?
5 Ikiwa hata mwezi sio mwangavu
6 sembuse mtu ambaye ni funza: