Jó 25

SWHONEN

1 Ndipo Bildadi Mshuhi akajibu:

2 “Mamlaka na kuheshimiwa ni vyake Mungu;

3 Je, majeshi yake yaweza kuhesabika?

4 Mtu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu?

5 Ikiwa hata mwezi sio mwangavu

6 sembuse mtu ambaye ni funza:

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado