1 “Kwa nini Mwenyezi asiweke nyakati kwa ajili ya hukumu?
2 Watu husogeza mawe ya mpaka;
3 Huwanyangʼanya yatima punda wao,
4 Humsukuma mhitaji kutoka njia,
5 Kama punda-mwitu jangwani,
6 Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo
7 Kwa kukosa nguo, usiku kucha hukaa uchi;
8 Hutota kwa mvua za mlimani,
9 Mtoto yatima hupokonywa matitini;
10 Kwa kukosa nguo, hutembea uchi;
11 Hukamua zeituni katika mawe ya kusagia;
12 Kilio cha huzuni cha wanaokufa kinapaa kutoka mjini,
13 “Wako wale wanaoiasi nuru,
14 Wakati mwanga wa mchana unapotoweka, muuaji huinuka
15 Jicho la mzinzi hungojea wakati wa giza,
16 Katika giza, huvunja majumba,
17 Kwa wote hawa, giza nene ndiyo asubuhi yao;
18 “Lakini wao ni povu juu ya maji;
19 Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka,
20 Tumbo lililowazaa huwasahau,
21 Huwafanya mawindo wanawake tasa na wasio na watoto,
22 Lakini Mungu huwakokota wenye nguvu kwa uwezo wake;
23 Aweza akawaacha wakapumzika wakijihisi salama,
24 Kwa kitambo kidogo hutukuka, hatimaye hutoweka;
25 “Kama hili sivyo, ni nani awezaye kunithibitisha kuwa mwongo,