Jó 23

SWHONEN

1 Ndipo Ayubu akajibu:

2 “Hata leo malalamiko yangu ni chungu;

3 Laiti ningefahamu mahali pa kumwona;

4 Ningeliweka shauri langu mbele zake,

5 Ningejua kwamba angenijibu nini,

6 Je, angenipinga kwa nguvu nyingi?

7 Hapo mtu mwadilifu angeweka shauri lake mbele zake,

8 “Lakini nikienda mashariki, hayupo;

9 Anapokuwa kazini pande za kaskazini, simwoni;

10 Lakini anaijua njia niiendeayo;

11 Nyayo zangu zimefuata hatua zake kwa karibu;

12 Sijaziacha amri zilizotoka midomoni mwake;

13 “Lakini yeye husimama peke yake; ni nani awezaye kumpinga?

14 Hutimiliza maagizo yake dhidi yangu,

15 Hiyo ndiyo sababu ninaingiwa na hofu mbele zake;

16 Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia;

17 Hata hivyo sijanyamazishwa na giza,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado