1 Ndipo Ayubu akajibu:
2 “Hata leo malalamiko yangu ni chungu;
3 Laiti ningefahamu mahali pa kumwona;
4 Ningeliweka shauri langu mbele zake,
5 Ningejua kwamba angenijibu nini,
6 Je, angenipinga kwa nguvu nyingi?
7 Hapo mtu mwadilifu angeweka shauri lake mbele zake,
8 “Lakini nikienda mashariki, hayupo;
9 Anapokuwa kazini pande za kaskazini, simwoni;
10 Lakini anaijua njia niiendeayo;
11 Nyayo zangu zimefuata hatua zake kwa karibu;
12 Sijaziacha amri zilizotoka midomoni mwake;
13 “Lakini yeye husimama peke yake; ni nani awezaye kumpinga?
14 Hutimiliza maagizo yake dhidi yangu,
15 Hiyo ndiyo sababu ninaingiwa na hofu mbele zake;
16 Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia;
17 Hata hivyo sijanyamazishwa na giza,