Jó 22

SWHONEN

1 Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:

2 “Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu?

3 Je, Mwenyezi angefurahia nini

4 “Je, ni kwa ajili ya utaua wako ndiyo maana anakukemea

5 Je, uovu wako si mkuu?

6 Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu;

7 Hukumpa maji aliyechoka,

8 ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi:

9 Umewafukuza wajane mikono mitupu

10 Ndiyo sababu mitego imekuzunguka pande zote,

11 ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona,

12 “Je, Mungu hayuko katika mbingu za juu?

13 Hivyo wewe wasema, ‘Mungu anajua nini?’

14 Mawingu mazito ni pazia lake, hivyo hatuoni sisi

15 Je, utaifuata njia ya zamani,

16 Waliondolewa kabla ya wakati wao,

17 Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi!

18 Lakini ndiye alizijaza nyumba zao na vitu vizuri,

19 “Wenye haki wanaona maangamizi yao na kufurahi,

20 ‘Hakika adui zetu wameangamizwa,

21 “Mjue sana Mungu ili uwe na amani,

22 Uyapokee mafundisho toka kinywani mwake,

23 Kama ukimrudia Mwenyezi, utarudishwa upya:

24 kama dhahabu yako ukiihesabu kama mavumbi,

25 ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako,

26 Hakika ndipo utakapojifurahisha kwa Mwenyezi,

27 Utamwomba yeye, naye atakusikia,

28 Utakusudia jambo nalo litatendeka,

29 Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’

30 Atamwokoa hata yule ambaye ana hatia,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado