Jó 21

SWHONEN

1 Ndipo Ayubu akajibu:

2 “Yasikilizeni maneno yangu kwa makini;

3 Nivumilieni ninapozungumza,

4 “Je, kwani malalamiko yangu yanaelekezwa kwa mwanadamu?

5 Niangalieni mkastaajabu;

6 Ninapowaza juu ya hili, ninaogopa,

7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi,

8 Huwaona watoto wao wakithibitika

9 Nyumba zao zi salama wala hakuna hofu;

10 Madume yao ya ngʼombe huvyaza bila kushindwa kamwe;

11 Huwatoa watoto wao nje kama kundi;

12 Huimba nyimbo kwa matari na kwa kinubi,

13 Huitumia miaka yao katika mafanikio

14 Lakini humwambia Mungu, ‘Tuache sisi!’

15 Mwenyezi ni nani hata tumtumikie?

16 Lakini kufanikiwa kwao hakupo mikononi mwao wenyewe,

17 “Lakini ni mara ngapi taa ya waovu huzimwa?

18 Ni mara ngapi huwa kama majani makavu mbele ya upepo,

19 Imesemekana, ‘Mungu huiweka akiba adhabu ya mtu

20 Macho yake mwenyewe na yaone maangamizi yake;

21 Kwani anajali nini kuhusu jamaa anayoiacha nyuma,

22 “Je, yuko mtu yeyote awezaye kumfundisha Mungu maarifa,

23 Mtu mmoja hufa akiwa na nguvu zake kamili,

24 mwili wake ukiwa umenawiri,

25 Mtu mwingine hufa katika uchungu wa nafsi,

26 Hao wote hulala mavumbini,

27 “Ninayajua kikamilifu yale mnayoyafikiri,

28 Mwasema, ‘Iko wapi sasa nyumba ya huyo mtu mkuu,

29 Je, hamkuwahi kuwauliza hao wanaosafiri?

30 kwamba mtu mwovu huepushwa kutoka siku ya maafa,

31 Ni nani hulaumu matendo yake mbele ya uso wake?

32 Hupelekwa kaburini,

33 Udongo ulio bondeni ni mtamu kwake;

34 “Hivyo ninyi mnawezaje kunifariji kwa upuzi wenu?

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado