Jó 20

SWHONEN

1 Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:

2 “Mawazo yanayonisumbua yananisukuma kujibu,

3 Ninasikia makaripio ambayo yananivunjia heshima,

4 “Hakika unajua jinsi ilivyokuwa tangu zamani,

5 macheko ya mtu mwovu ni ya muda mfupi,

6 Ingawa kujikweza kwake hufikia mbinguni

7 ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe.

8 Kama ndoto hutoweka, wala hapatikani tena,

9 Jicho lililomwona halitamwona tena;

10 Watoto wake watalipa yote baba yao aliyowadhulumu maskini,

11 Nguvu za ujana zilizoijaza mifupa yake,

12 “Ingawa uovu ni mtamu kinywani mwake

13 ingawa hawezi kukubali kuuachia uende,

14 Hata hivyo chakula chake kitakuwa kichungu tumboni mwake,

15 Atatema mali alizozimeza;

16 Atanyonya sumu za majoka;

17 Hatafurahia vijito,

18 Vile alivyovitaabikia atavirudisha bila kuvila;

19 Kwa kuwa aliwaonea maskini na kuwaacha pasipo kitu;

20 “Hakika hatakuwa na raha katika kutamani kwake sana;

21 Hakuna chochote kitakachosalia kwa ajili yake ili ale;

22 Katikati ya wingi wa ustawi wake, dhiki itampata;

23 Atakapokuwa amelijaza tumbo lake,

24 Ijapokuwa aikimbia silaha ya chuma,

25 Atauchomoa katika mgongo wake,

26 giza nene linavizia hazina zake.

27 Mbingu zitaweka wazi hatia yake,

28 Mafuriko yataichukua nyumba yake,

29 Hili ndilo fungu Mungu alilowagawia waovu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado