Jó 17

SWHONEN

1 Moyo wangu umevunjika,

2 Hakika wenye mizaha wamenizunguka;

3 “Ee Mungu, nipe dhamana unayodai.

4 Umezifunga akili zao zisipate ufahamu,

5 Kama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira,

6 “Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu,

7 Macho yangu yamefifia kwa ajili ya majonzi;

8 Watu wanyofu wanatishwa na hili;

9 Hata hivyo, waadilifu watazishika njia zao,

10 “Lakini ninyi njooni, ninyi nyote, jaribuni tena!

11 Siku zangu zimepita, mipango yangu imevunjika,

12 Watu hawa hufanya usiku kuwa mchana,

13 Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi,

14 kama nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’

15 liko wapi basi tarajio langu?

16 Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti?

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado