Jó 16

SWHONEN

1 Kisha Ayubu akajibu:

2 “Nimepata kusikia mambo mengi kama haya,

3 Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho?

4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi,

5 Lakini kinywa changu kingewatia moyo;

6 “Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi;

7 Ee Mungu, hakika umenichakaza;

8 Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi;

9 Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake,

10 Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki;

11 Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya,

12 Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja;

13 wapiga upinde wake wananizunguka.

14 Huniponda tena na tena;

15 “Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu

16 Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia,

17 Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri,

18 “Ee nchi, usiifunike damu yangu,

19 Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni;

20 Mwombezi wangu ni rafiki yangu

21 kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu

22 “Ni miaka michache tu itapita

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado