1 “Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke
2 Huchanua kama ua kisha hunyauka;
3 Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo?
4 Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka kitu najisi?
5 Siku za mwanadamu zimewekewa mpaka;
6 Hivyo angalia mbali umwache,
7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti;
8 Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini
9 lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua
10 Lakini mwanadamu hufa, na huo ndio mwisho wake;
11 Kama vile maji yatowekavyo katika bahari,
12 ndivyo mwanadamu alalavyo chini asiamke;
13 “Laiti kama ungenificha kaburini,
14 Je, kama mtu akifa, aweza kuishi tena?
15 Utaniita nami nitakuitika;
16 Hakika ndipo utakapozihesabu hatua zangu,
17 Makosa yangu yatafungiwa kwa lakiri kwenye mfuko,
18 “Lakini kama mlima umomonyokavyo na kufikichika
19 kama maji yamalizavyo mawe,
20 Humshinda mara moja kwa daima, naye hutoweka;
21 Kama wanawe wakipewa heshima, yeye hafahamu;
22 Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe,