Jó 13

SWHONEN

1 “Macho yangu yameona hili lote,

2 Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua;

3 Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi

4 Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo;

5 Laiti wote mngenyamaza kimya!

6 Sikieni sasa hoja yangu;

7 Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu?

8 Mtamwonyesha upendeleo?

9 Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi?

10 Hakika angewakemea

11 Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi?

12 Maneno yenu ni mithali za majivu;

13 “Nyamazeni kimya nipate kusema;

14 Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari

15 Ingawa ataniua, bado nitamtumaini;

16 Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu,

17 Sikilizeni maneno yangu kwa makini;

18 Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu,

19 Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu?

20 “Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili,

21 Ondoa mkono wako uwe mbali nami,

22 Niite kwenye shauri nami nitajibu,

23 Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda?

24 Kwa nini kuuficha uso wako

25 Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo?

26 Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu

27 Umeifunga miguu yangu kwenye pingu.

28 “Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado