1 “Nilijifunua kwa watu wale ambao hawakuniulizia.
2 Mchana kutwa nimeinyoosha mikono yangu
3 taifa ambalo daima hunikasirisha
4 watu waketio katikati ya makaburi
5 wasemao, ‘Kaa mbali; usinikaribie,
6 “Tazama, jambo hili hubakia limeandikwa mbele zangu:
7 dhambi zenu na dhambi za baba zenu,”
8 Hili ndilo asemalo Bwana:
9 Nitawaleta wazao kutoka kwa Yakobo,
10 Sharoni itakuwa malisho
11 “Bali kwenu ninyi mnaomwacha Bwana
12 nitawaagiza mfe kwa upanga,
13 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:
14 Watumishi wangu wataimba
15 Mtaliacha jina lenu
16 Yeye aombaye baraka katika nchi
17 “Tazama, nitaumba
18 Lakini furahini na kushangilia daima
19 Nami nitaifurahia Yerusalemu
20 “Kamwe hatakuwepo tena ndani yake
21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake;
22 Hawatajenga nyumba, nao watu wengine waishi ndani yake,
23 Hawatajitaabisha kwa kazi bure,
24 Kabla hawajaita, nitajibu,
25 Mbwa mwitu na mwana-kondoo watalisha pamoja,