1 Laiti ungelipasua mbingu na kushuka chini,
2 Kama vile moto uteketezavyo vijiti
3 Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha ambayo hatukuyatazamia,
4 Tangu nyakati za zamani hakuna yeyote aliyesikia,
5 Uliwasaidia watu wale watendao yaliyo haki kwa furaha,
6 Sisi sote tumekuwa kama mtu aliye najisi,
7 Hakuna yeyote anayeliitia jina lako
8 Lakini, Ee Bwana, wewe ndiwe Baba yetu.
9 Ee Bwana, usikasirike kupita kiasi,
10 Miji yako mitakatifu imekuwa jangwa;
11 Hekalu letu takatifu na tukufu, mahali ambapo baba zetu walikusifu wewe,
12 Ee Bwana, baada ya haya yote, utajizuia?