Isaías 64

SWHONEN

1 Laiti ungelipasua mbingu na kushuka chini,

2 Kama vile moto uteketezavyo vijiti

3 Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha ambayo hatukuyatazamia,

4 Tangu nyakati za zamani hakuna yeyote aliyesikia,

5 Uliwasaidia watu wale watendao yaliyo haki kwa furaha,

6 Sisi sote tumekuwa kama mtu aliye najisi,

7 Hakuna yeyote anayeliitia jina lako

8 Lakini, Ee Bwana, wewe ndiwe Baba yetu.

9 Ee Bwana, usikasirike kupita kiasi,

10 Miji yako mitakatifu imekuwa jangwa;

11 Hekalu letu takatifu na tukufu, mahali ambapo baba zetu walikusifu wewe,

12 Ee Bwana, baada ya haya yote, utajizuia?

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado