1 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,
2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu,
3 “Nimekanyaga shinikizo la zabibu peke yangu;
4 Kwa kuwa siku ya kisasi ilikuwa moyoni mwangu,
5 Nilitazama, lakini hakuwepo yeyote wa kunisaidia,
6 Nilikanyaga mataifa kwa miguu katika hasira yangu,
7 Nitasimulia juu ya wema wa Bwana,
8 Alisema, “Hakika wao ni watu wangu,
9 Katika taabu zao zote naye alitaabika,
10 Lakini waliasi,
11 Ndipo watu wake wakazikumbuka siku zilizopita,
12 aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu
13 aliyewaongoza kupitia kwenye vilindi?
14 kama ngʼombe washukao bondeni kwenye malisho,
15 Tazama chini kutoka mbinguni ukaone
16 Lakini wewe ni Baba yetu,
17 Ee Bwana, kwa nini unatuacha twende mbali na njia zako,
18 Kwa maana kwa muda mfupi watu wako walimiliki mahali pako patakatifu,
19 Sisi tumekuwa kama wale ambao hujawatawala kamwe,