1 Kwa ajili ya Sayuni sitanyamaza,
2 Mataifa wataona haki yako,
3 Utakuwa taji ya fahari mkononi mwa Bwana,
4 Hawatakuita tena Aliyeachwa,
5 Kama vile kijana aoavyo mwanamwali,
6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, ee Yerusalemu,
7 msimwache apumzike hadi atakapoufanya imara Yerusalemu
8 Bwana ameapa kwa mkono wake wa kuume
9 lakini wale waivunao nafaka wataila
10 Piteni, piteni katika malango!
11 Bwana ametoa tangazo
12 Wataitwa Watu Watakatifu,