Isaías 66

SWHONEN

1 Hili ndilo asemalo Bwana,

2 Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote,

3 Lakini yeyote atoaye dhabihu ya fahali

4 Hivyo, mimi pia nitawachagulia mapigo makali,

5 Sikieni neno la Bwana,

6 Sikieni hizo ghasia kutoka mjini,

7 “Kabla hajasikia utungu, alizaa;

8 Ni nani amepata kusikia jambo kama hili?

9 Je, nilete mwana hadi wakati wa kuzaliwa

10 “Shangilieni pamoja na Yerusalemu na mfurahi kwa ajili yake,

11 Kwa kuwa mtanyonya na kutosheka

12 Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana:

13 Kama mama anavyomfariji mtoto wake,

14 Wakati mtakapoona jambo hili, mioyo yenu itashangilia,

15 Tazama, Bwana anakuja na moto,

16 Kwa maana kwa moto na kwa upanga wake

17 “Watu wote wanaojiweka wakfu na kujitakasa wenyewe ili kwenda bustanini, wakimfuata aliye katikati ya wale ambao hula nyama za nguruwe na panya pamoja na vitu vingine vilivyo machukizo, watafikia mwisho wao pamoja,” asema Bwana.

18 “Nami, kwa sababu ya matendo yao na mawazo yao, niko karibu kuja na kukusanya mataifa yote na lugha zote, nao watakuja na kuuona utukufu wangu.

19 “Nitaweka ishara katikati yao, nami nitapeleka baadhi ya hao walionusurika kwa mataifa, hadi Tarshishi, kwa Puli na Waludi (wanaojulikana kama wapiga upinde), kwa Tubali na Uyunani, hadi visiwa vya mbali ambavyo havijasikia juu ya sifa zangu au kuuona utukufu wangu. Watatangaza utukufu wangu miongoni mwa mataifa.

20 Nao watawaleta ndugu zenu wote, kutoka mataifa yote, mpaka kwenye mlima wangu mtakatifu katika Yerusalemu kama sadaka kwa Bwana, juu ya farasi, katika magari ya vita na magari makubwa, juu ya nyumbu na ngamia,” asema Bwana. “Watawaleta, kama Waisraeli waletavyo sadaka zao za nafaka, katika Hekalu la Bwana, katika vyombo safi kwa kufuata desturi za ibada.

21 Nami nitachagua baadhi yao pia wawe makuhani na Walawi,” asema Bwana.

22 “Kama vile mbingu mpya na nchi mpya ninazozifanya zitakavyodumu mbele zangu,” asema Bwana, “ndivyo jina lenu na wazao wenu watakavyodumu.

23 Kutoka Mwezi Mpya hata mwingine, na kutoka Sabato hadi nyingine, wanadamu wote watakuja na kusujudu mbele zangu,” asema Bwana.

24 “Nao watatoka nje na kuona maiti za wale walioniasi mimi. Funza wao hawatakufa, wala moto wao hautazimika, nao watakuwa kitu cha kuchukiza sana kwa wanadamu wote.”

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado