Isaías 60

SWHONEN

1 “Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako imekuja

2 Tazama, giza litaifunika dunia

3 Mataifa watakuja kwenye nuru yako

4 “Inua macho yako na utazame pande zote:

5 Ndipo utatazama na kutiwa nuru,

6 Makundi ya ngamia yatajaa katika nchi yako,

7 Makundi yote ya Kedari yatakusanyika kwako,

8 “Ni nani hawa warukao kama mawingu,

9 Hakika visiwa vinanitazama,

10 “Wageni watazijenga upya kuta zako,

11 Malango yako yatakuwa wazi siku zote,

12 Kwa maana taifa au ufalme ule ambao hautakutumikia utaangamia;

13 “Utukufu wa Lebanoni utakujilia,

14 Wana wa wale waliokuonea watakuja wakisujudu mbele yako,

15 “Ingawa umeachwa na kuchukiwa,

16 Utanyonya maziwa ya mataifa,

17 Badala ya shaba nitakuletea dhahabu,

18 Jeuri hazitasikika tena katika nchi yako,

19 Jua halitakuwa tena nuru yako mchana,

20 Jua lako halitazama tena,

21 Ndipo watu wako wote watakuwa waadilifu,

22 Aliye mdogo kwenu atakuwa elfu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado