1 Ni nani aliyeamini ujumbe wetu,
2 Alikua mbele yake kama mche mwororo
3 Alidharauliwa na kukataliwa na wanadamu,
4 Hakika alichukua udhaifu wetu
5 Lakini alitobolewa kwa ajili ya makosa yetu,
6 Sisi sote, kama kondoo, tumepotea,
7 Alionewa na kuteswa,
8 Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa.
9 Wakamfanyia kaburi pamoja na waovu,
10 Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Bwana
11 Baada ya maumivu ya nafsi yake,
12 Kwa hiyo nitamgawia sehemu miongoni mwa wakuu,