1 “Imba, ewe mwanamke tasa,
2 “Panua mahali pa hema lako,
3 Kwa maana utaenea upande wa kuume
4 “Usiogope, wewe hutaaibika.
5 Kwa maana Muumba wako ndiye mume wako,
6 Bwana atakuita urudi
7 “Kwa kitambo kidogo nilikuacha,
8 Katika ukali wa hasira
9 “Kwangu mimi jambo hili ni kama siku za Noa,
10 Ijapotikisika milima, na vilima viondolewe,
11 “Ewe mji uliyeteswa, uliyepigwa kwa dhoruba na usiyetulizwa,
12 Nitafanya minara yako ya akiki,
13 Watoto wako wote watafundishwa na Bwana,
14 Kwa haki utathibitika:
15 Kama mtu yeyote akikushambulia,
16 “Tazama, ni mimi niliyemuumba mhunzi,
17 Hakuna silaha itakayofanyizwa dhidi yako