Isaías 52

SWHONEN

1 Amka, amka, ee Sayuni,

2 Jikungʼute mavumbi yako,

3 Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana:

4 Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:

5 “Basi sasa nina nini hapa?” asema Bwana.

6 Kwa hiyo watu wangu watalijua Jina langu;

7 Tazama jinsi miguu ya wale waletao habari njema

8 Sikiliza! Walinzi wako wanapaza sauti zao,

9 Pazeni sauti ya nyimbo za furaha pamoja,

10 Mkono mtakatifu wa Bwana umefunuliwa

11 Ondokeni, ondokeni, tokeni huko!

12 Lakini hamtaondoka kwa haraka,

13 Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa hekima;

14 Kama walivyokuwa wengi

15 hivyo atayashangaza mataifa mengi,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado