1 Nisikilizeni, enyi visiwa, sikieni hili,
2 Akafanya kinywa changu kuwa kama upanga ulionolewa,
3 Akaniambia, “Wewe u mtumishi wangu,
4 Lakini nilisema, “Nimetumika bure,
5 Sasa Bwana asema:
6 yeye asema:
7 Hili ndilo asemalo Bwana,
8 Hili ndilo asemalo Bwana:
9 kuwaambia mateka, ‘Tokeni nje,’
10 Hawataona njaa wala kuona kiu,
11 Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara,
12 Tazama, watakuja kutoka mbali:
13 Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;
14 Lakini Sayuni alisema, “Bwana ameniacha,
15 “Je, mama aweza kumsahau mtoto
16 Tazama, nimekuchora kama muhuri
17 Wana wako wanaharakisha kurudi,
18 Inua macho yako ukatazame pande zote:
19 “Ingawa uliangamizwa na kufanywa ukiwa,
20 Watoto waliozaliwa wakati wa msiba wako
21 Ndipo utasema moyoni mwako,
22 Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:
23 Wafalme watakuwa baba zenu wa kuwalea,
24 Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita,
25 Lakini hili ndilo asemalo Bwana:
26 Nitawafanya wale wanaokuonea kula nyama yao wenyewe,