1 “Sikilizeni hili, ee nyumba ya Yakobo,
2 ninyi mnaojiita raiya wa mji mtakatifu,
3 Nilitoa unabii mambo ya kwanza tangu zamani,
4 Kwa kuwa nalijua jinsi ulivyokuwa mkaidi;
5 Kwa hiyo nilikuambia mambo haya tangu zamani,
6 Umesikia mambo haya; yaangalie hayo yote.
7 Yameumbwa sasa, wala si tangu zamani;
8 Hujayasikia wala kuyaelewa,
9 Kwa ajili ya Jina langu mwenyewe
10 Tazama, nimekusafisha, ingawa si kama fedha,
11 Kwa ajili yangu mwenyewe,
12 “Ee Yakobo, nisikilize mimi,
13 Mkono wangu mwenyewe uliweka misingi ya dunia,
14 “Kusanyikeni, ninyi nyote, msikilize:
15 Mimi, naam, Mimi, nimenena;
16 “Nikaribieni na msikilize hili:
17 Hili ndilo asemalo Bwana,
18 Laiti ungesikiliza kwa makini maagizo yangu,
19 Wazao wako wangekuwa kama mchanga,
20 Tokeni huko Babeli,
21 Hawakuona kiu alipowaongoza kupita jangwani;
22 “Hakuna amani kwa waovu,” asema Bwana.