Isaías 43

SWHONEN

1 Lakini sasa hili ndilo asemalo Bwana,

2 Unapopita kwenye maji makuu,

3 Kwa kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wako,

4 Kwa kuwa wewe ni wa thamani na wa kuheshimiwa machoni pangu,

5 Usiogope, kwa kuwa mimi nipo pamoja nawe,

6 Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’

7 kila mmoja ambaye ameitwa kwa Jina langu,

8 Uwaongoze wale wenye macho lakini hawaoni,

9 Mataifa yote yanakutanika pamoja,

10 “Ninyi ni mashahidi wangu,” asema Bwana,

11 Mimi, naam mimi, ndimi Bwana,

12 Nimedhihirisha, kuokoa na kutangaza:

13 Naam, tangu siku za kale, Mimi ndiye.

14 Hili ndilo Bwana asemalo,

15 Mimi ndimi Bwana, yeye Aliye Mtakatifu wako,

16 Hili ndilo asemalo Bwana,

17 aliyeyakokota magari ya vita na farasi,

18 “Msiyakumbuke mambo yaliyopita,

19 Tazama, nitafanya jambo jipya!

20 Wanyama wa mwituni wataniheshimu,

21 watu wale niliowaumba kwa ajili yangu,

22 “Hata hivyo hukuniita mimi, ee Yakobo,

23 Hujaniletea kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa,

24 Hukuninunulia uvumba wowote wenye manukato,

25 “Mimi, naam mimi, ndimi nizifutaye dhambi zako,

26 Tafakari mambo yaliyopita,

27 Baba yako wa kwanza alitenda dhambi,

28 Kwa hiyo nitawaaibisha wakuu wa Hekalu lako,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado