1 “Huyu hapa mtumishi wangu, ninayemtegemeza,
2 Hatapaza sauti wala kupiga kelele,
3 Mwanzi uliopondeka hatauvunja,
4 hatazimia roho wala kukata tamaa,
5 Hili ndilo asemalo Mungu, Bwana,
6 “Mimi, Bwana, nimekuita katika haki;
7 kuwafungua macho wale wasioona,
8 “Mimi ndimi Bwana; hilo ndilo Jina langu!
9 Tazama, mambo ya kwanza yametokea,
10 Mwimbieni Bwana wimbo mpya,
11 Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao;
12 Wampe Bwana utukufu,
13 Bwana ataenda kama mtu mwenye nguvu,
14 “Kwa muda mrefu nimenyamaza kimya,
15 Nitaharibu milima na vilima
16 Nitawaongoza vipofu kwenye njia ambayo hawajaijua,
17 Lakini wale wanaotumaini sanamu,
18 “Sikieni, enyi viziwi;
19 Ni nani aliye kipofu isipokuwa mtumishi wangu,
20 Mmeona vitu vingi, lakini hamkuzingatia;
21 Ilimpendeza Bwana
22 Lakini hili ni taifa lililoibwa na kutekwa nyara,
23 Ni nani miongoni mwenu atakayesikiliza hili,
24 Ni nani aliyemtoa Yakobo kuwa mateka,
25 Hivyo akawamwagia hasira yake inayowaka,