1 “Nyamazeni kimya mbele zangu, enyi visiwa!
2 “Ni nani aliyemchochea mmoja kutoka mashariki,
3 Huwafuatia na kuendelea salama,
4 Ni nani aliyefanya jambo hili na kulitimiliza,
5 Visiwa vimeliona na kuogopa,
6 kila mmoja humsaidia mwingine
7 Fundi humtia moyo sonara,
8 “Lakini wewe, ee Israeli, mtumishi wangu,
9 nilikuchukua toka miisho ya dunia,
10 Hivyo usiogope, kwa maana niko pamoja nawe;
11 “Wote walioona hasira dhidi yako
12 Ingawa utawatafuta adui zako,
13 Kwa maana Mimi ndimi Bwana, Mungu wako,
14 Usiogope, ee Yakobo uliye mdudu,
15 “Tazama, nitakufanya chombo cha kupuria,
16 Utaipepeta, nao upepo utaichukua,
17 “Maskini na wahitaji wanatafuta maji,
18 Nitaifanya mito itiririke juu ya vilima vilivyo kame,
19 Katika jangwa nitaotesha
20 ili kwamba watu wapate kuona na kujua,
21 Bwana asema, “Leta shauri lako.
22 “Leteni sanamu zenu zituambie
23 tuambieni ni nini kitakachotokea baadaye,
24 Lakini ninyi ni zaidi ya bure kabisa,
25 “Nimemchochea mtu mmoja kutoka kaskazini,
26 Ni nani aliyenena hili tokea mwanzoni, ili tupate kujua,
27 Nilikuwa wa kwanza kumwambia Sayuni,
28 Ninatazama, lakini hakuna yeyote:
29 Tazama, wote ni ubatili!