Isaías 44

SWHONEN

1 “Lakini sasa sikiliza, ee Yakobo, mtumishi wangu,

2 Hili ndilo asemalo Bwana,

3 Kwa maana nitamimina maji juu ya nchi yenye kiu,

4 Nao watachipua kama manyasi katika shamba la majani,

5 Mmoja atasema, ‘Mimi ni wa Bwana’;

6 “Hili ndilo asemalo Bwana,

7 Ni nani basi aliye kama mimi? Yeye na atangaze.

8 Msitetemeke, msiogope.

9 Wote wachongao sanamu ni ubatili,

10 Ni nani atengenezaye mungu na kusubu sanamu,

11 Yeye pamoja na wenziwe wa aina yake wataaibishwa,

12 Muhunzi huchukua kifaa

13 Seremala hupima kwa kutumia kamba

14 Hukata miti ya mierezi,

15 Ni kuni ya binadamu:

16 Sehemu ya kuni huziweka motoni,

17 Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake;

18 Hawajui chochote, hawaelewi chochote,

19 Hakuna anayefikiri,

20 Hujilisha kwa majivu, moyo uliodanganyika humpotosha;

21 “Ee Yakobo, kumbuka mambo haya,

22 Nimeyafuta makosa yako kama wingu,

23 Enyi mbingu, imbeni kwa furaha,

24 “Hili ndilo asemalo Bwana,

25 “mimi huzipinga ishara za manabii wa uongo,

26 niyathibitishaye maneno ya watumishi wake,

27 niambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka,

28 nisemaye kuhusu Koreshi, ‘Yeye ni mchungaji wangu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado