1 Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu
2 Kila mtu atakuwa kama kivuli cha kujificha kutokana na upepo
3 Ndipo macho ya wale wanaoona hayatafumbwa tena,
4 Moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu na kuelewa,
5 Mpumbavu hataitwa tena muungwana,
6 Kwa kuwa mpumbavu hunena upumbavu,
7 Taratibu za mtu mbaya kabisa ni ovu,
8 Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana,
9 Enyi wanawake wenye kuridhika sana,
10 Muda zaidi kidogo ya mwaka mmoja,
11 Tetemekeni, enyi wanawake wenye kuridhika,
12 Pigeni matiti yenu kwa ajili ya mashamba mazuri,
13 na kwa ajili ya nchi ya watu wangu,
14 Ngome itaachwa,
15 mpaka Roho amwagwe juu yetu kutoka juu,
16 Haki itakaa katika jangwa,
17 Matunda ya haki yatakuwa amani,
18 Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani,
19 Hata kama mvua ya mawe iangushe msitu
20 tazama jinsi utakavyobarikiwa,