1 Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada,
2 Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa,
3 Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu,
4 Hili ndilo Bwana analoniambia:
5 Kama ndege warukao,
6 Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.
7 Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
8 “Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu;
9 Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu;