Isaías 31

SWHONEN

1 Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada,

2 Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa,

3 Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu,

4 Hili ndilo Bwana analoniambia:

5 Kama ndege warukao,

6 Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.

7 Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.

8 “Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu;

9 Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado