Isaías 30

SWHONEN

1 Bwana asema,

2 wale washukao kwenda Misri

3 Lakini ulinzi wa Farao utakuwa kwa aibu yenu,

4 Ingawa wana maafisa katika Soani

5 kila mmoja ataaibishwa

6 Neno kuhusu wanyama wa Negebu:

7 kuvipeleka Misri,

8 Nenda sasa, liandike neno hili juu ya kibao kwa ajili yao,

9 Hawa ni watu waasi, watoto wadanganyifu,

10 Wanawaambia waonaji,

11 Acheni njia hii,

12 Kwa hiyo, hili ndilo asemalo yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

13 dhambi hii itakuwa kwenu

14 Utavunjika vipande vipande kama chombo cha udongo

15 Hili ndilo Bwana Mwenyezi, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, asemalo:

16 Mlisema, ‘Hapana, tutakimbia kwa farasi.’

17 Watu 1,000 watakimbia

18 Hata hivyo Bwana anatamani kutupatia neema,

19 Enyi watu wa Sayuni, mnaoishi Yerusalemu, hamtalia tena. Tazameni jinsi atakavyokuwa na huruma mtakapolia kwa kumwomba msaada! Mara asikiapo, atawajibu.

20 Ingawa Bwana huwapa chakula cha shida na maji ya taabu, walimu wenu hawatafichwa tena, kwa macho yenu wenyewe mtawaona.

21 Mkigeuka kuume au kushoto, masikio yenu yatasikia sauti nyuma yenu ikisema, “Hii ndiyo njia, ifuateni.”

22 Kisha mtanajisi sanamu zenu zilizofunikwa kwa fedha, na vinyago vyenu vilivyofunikwa kwa dhahabu. Mtazitupilia mbali kama vitambaa vya wakati wa hedhi na kuziambia, “Haya, tokeni hapa!”

23 Pia atawapa mvua kwa ajili ya mbegu mnazootesha ardhini, chakula kinachotoka ardhini kitakuwa kizuri sana, tena tele. Katika siku ile, ngʼombe wenu watalisha katika shamba pana la majani.

24 Maksai na punda walimao watakula majani makavu na vyakula vilivyotengenezwa, vinavyotandazwa kwa uma na sepeto.

25 Katika siku ile ya mauaji makuu, wakati minara itakapoanguka, vijito vya maji vitatiririka juu ya kila mlima mrefu na kila kilima kilichoinuka sana.

26 Mwezi utaangaza kama jua, nao mwanga wa jua utangʼaa mara saba zaidi, kama nuru ya siku saba, wakati Bwana atakapoyafunga majeraha ya watu wake na kuwaponya vidonda alivyowatia.

27 Tazama, Jina la Bwana linakuja kutoka mbali,

28 Pumzi yake ni kama mkondo wa maji yaendayo kasi,

29 Nanyi mtaimba kama usiku ule mnaadhimisha

30 Bwana atawasababisha watu waisikie sauti yake ya utukufu,

31 Sauti ya Bwana itaivunjavunja Ashuru,

32 Kila pigo Bwana atakaloliweka juu yao

33 Tofethi imeandaliwa toka zamani,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado