Isaías 29

SWHONEN

1 Ole wako, wewe Arieli, Arieli,

2 Hata hivyo nitauzunguka Arieli kwa jeshi,

3 Nitapiga kambi pande zote dhidi yako,

4 Utakaposhushwa, utanena kutoka ardhini,

5 Lakini adui zako wengi watakuwa kama vumbi laini,

6 Bwana Mwenye Nguvu Zote atakuja

7 Kisha makundi ya mataifa yote yale yapiganayo dhidi ya Arieli,

8 kama vile mtu aliye na njaa aotavyo kuwa anakula,

9 Duwaeni na kushangaa,

10 Bwana amewaleteeni usingizi mzito:

11 Kwa maana kwenu ninyi, maono haya yote si kitu ila maneno yaliyotiwa lakiri katika kitabu. Kama mkimpa mtu yeyote awezaye kusoma kitabu hiki, nanyi mkamwambia, “Tafadhali kisome,” yeye atajibu, “Mimi siwezi, kwa kuwa kimetiwa lakiri.”

12 Au kama mkimpa mtu yeyote kitabu hiki asiyeweza kusoma na kumwambia, “Tafadhali kisome,” atajibu, “Mimi sijui kusoma.”

13 Bwana anasema:

14 Kwa hiyo mara nyingine tena nitawashangaza watu hawa,

15 Ole kwa wale wanaokwenda kwenye vilindi virefu

16 Mnapindua mambo juu chini,

17 Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba,

18 Katika siku ile viziwi watasikia maneno ya kitabu,

19 Mara nyingine tena wanyenyekevu watafurahi katika Bwana,

20 Wakatili watatoweka na wenye kudhihaki watatokomea,

21 wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia,

22 Kwa hiyo hili ndilo Bwana, aliyemkomboa Abrahamu, analosema kwa nyumba ya Yakobo:

23 Wakati watakapoona watoto wao miongoni mwao,

24 Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado