Isaías 27

SWHONEN

1 Katika siku ile,

2 Katika siku ile:

3 Mimi, Bwana, ninalitunza,

4 Mimi sijakasirika.

5 Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kupata kimbilio,

6 Katika siku zijazo, Yakobo atatia mizizi,

7 Je, Bwana amempiga

8 Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye:

9 Kwa hili, basi, hatia ya Yakobo itafanyiwa upatanisho,

10 Mji ulio na boma umebaki ukiwa,

11 Wakati vijiti vyake vimekauka, huvunjwa

12 Katika siku ile Bwana atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja.

13 Katika siku ile tarumbeta kubwa italia. Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu Bwana katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado