1 Ee Bwana, wewe ni Mungu wangu,
2 Umeufanya mji kuwa lundo la kifusi,
3 Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu,
4 Umekuwa kimbilio la watu maskini,
5 na kama joto la jangwani.
6 Juu ya mlima huu Bwana Mwenye Nguvu Zote ataandaa
7 Juu ya mlima huu ataharibu
8 yeye atameza mauti milele.
9 Katika siku ile watasema,
10 Mkono wa Bwana utatulia juu ya mlima huu,
11 Watakunjua mikono yao katikati yake,
12 Atabomoa kuta ndefu za maboma yako