Isaías 24

SWHONEN

1 Tazama, Bwana ataifanya dunia kuwa ukiwa

2 ndivyo itakavyokuwa

3 Dunia itaharibiwa kabisa

4 Dunia inakauka na kunyauka,

5 Dunia imetiwa unajisi na watu wake;

6 Kwa hiyo laana inaiteketeza dunia,

7 Divai mpya inakauka na mzabibu unanyauka,

8 Furaha ya matoazi imekoma,

9 Hawanywi tena mvinyo pamoja na wimbo,

10 Mji ulioharibiwa umekuwa ukiwa,

11 Barabarani wanalilia kupata mvinyo,

12 Mji umeachwa katika uharibifu,

13 Ndivyo itakavyokuwa duniani

14 Wanainua sauti zao, wanapiga kelele kwa furaha,

15 Kwa hiyo upande wa mashariki mpeni Bwana utukufu,

16 Kutoka miisho ya dunia tunasikia uimbaji:

17 Hofu, shimo na mtego vinakungojea,

18 Kila akimbiaye asikiapo sauti ya hofu

19 Dunia imepasuka,

20 Dunia inapepesuka kama mlevi,

21 Katika siku ile Bwana ataadhibu

22 Watakusanywa pamoja

23 Mwezi utatiwa haya, nalo jua litaaibishwa;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado