1 Neno kuhusu Tiro:
2 Nyamazeni kimya, enyi watu wa kisiwani,
3 Kwenye maji makuu
4 Uaibishwe ee Sidoni, nawe ee ngome la bahari,
5 Habari ifikapo Misri,
6 Vukeni mpaka Tarshishi,
7 Je, huu ndio mji wenu uliojaa sherehe,
8 Ni nani amepanga hili dhidi ya Tiro,
9 Bwana Mwenye Nguvu Zote ndiye alipanga jambo hili,
10 Ee Binti Tarshishi,
11 Bwana amenyoosha mkono wake juu ya bahari
12 Alisema, “Usizidi kufurahi,
13 Tazama katika nchi ya Wakaldayo,
14 Ombolezeni, enyi meli za Tarshishi;
15 Wakati huo Tiro utasahauliwa kwa miaka sabini, muda wa maisha ya mfalme. Lakini mwisho wa miaka hiyo sabini, itakuwa kwa Tiro kama ilivyo katika wimbo wa kahaba:
16 “Twaa kinubi, tembea mjini kote,
17 Mwishoni mwa miaka sabini, Bwana atashughulika na Tiro. Naye atarudia ajira yake ya ukahaba, na atafanya biashara yake na falme zote juu ya uso wa dunia.
18 Lakini faida na mapato yake yatawekwa wakfu kwa Bwana; hayatahifadhiwa wala kufichwa. Faida zake zitakwenda kwa wale wakaao mbele za Bwana kwa ajili ya chakula tele na mavazi mazuri.