Isaías 22

SWHONEN

1 Neno kuhusu Bonde la Maono:

2 Ewe mji uliojaa ghasia,

3 Viongozi wako wote wamekimbia pamoja,

4 Kwa hiyo nilisema, “Geukia mbali nami,

5 Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, anayo siku

6 Elamu analichukua podo,

7 Mabonde yako yaliyo mazuri sana yamejaa magari ya vita,

8 ulinzi wa Yuda umeondolewa.

9 mkaona kuwa Mji wa Daudi

10 Mlihesabu majengo katika Yerusalemu

11 Mlijenga bwawa la maji katikati ya kuta mbili

12 Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,

13 Lakini tazama, kuna furaha na sherehe,

14 Bwana Mwenye Nguvu Zote amelifunua hili nikiwa ninasikia: Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, asema: “Mpaka siku ya kufa kwenu, dhambi hii haitafanyiwa upatanisho.”

15 Hili ndilo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, asemalo:

16 Unafanya nini hapa, na ni nani aliyekupa ruhusa

17 “Jihadhari, Bwana yu karibu kukukamata thabiti,

18 Atakuvingirisha uwe kama mpira

19 Nitakuondoa kutoka kazi yako,

20 “Katika siku ile, nitamwita mtumishi wangu, Eliakimu mwana wa Hilkia.

21 Nitamvika joho lako, nami nitamfunga mshipi wako kiunoni mwake, na kumkabidhi mamlaka yako. Yeye atakuwa baba kwa wale wanaoishi Yerusalemu na kwa nyumba ya Yuda.

22 Nitaweka mabegani mwake ufunguo wa nyumba ya Daudi. Kile afunguacho hakuna awezaye kufunga, na kile afungacho hakuna awezaye kufungua.

23 Nitamgongomea kama kigingi kilicho mahali palipo imara, naye atakuwa kiti cha enzi cha heshima kwa ajili ya nyumba ya baba yake.

24 Utukufu wote wa jamaa yake utakuwa juu yake: Watoto wa jamaa hiyo na machipukizi yake, vyombo vyake vyote vidogo, tangu bakuli hadi magudulia yote.”

25 Bwana Mwenye Nguvu Zote asema, “Katika siku ile, kigingi kilichogongomewa mahali imara kitaachia njia. Kitakatwa, nacho kitaanguka na mzigo ulioningʼinia juu yake utaanguka chini.” Bwana amesema.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado