Isaías 21

SWHONEN

1 Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari:

2 Nimeonyeshwa maono ya kutisha:

3 Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu,

4 Moyo wangu unababaika,

5 Wanaandaa meza,

6 Hili ndilo Bwana analoniambia:

7 Anapoona magari ya vita

8 Naye mlinzi alipaza sauti,

9 Tazama, yuaja mtu anayepanda gari la vita

10 Ee watu wangu, mliopondwa kwenye sakafu ya kupuria,

11 Neno kuhusu Duma:

12 Mlinzi anajibu,

13 Neno kuhusu Arabia:

14 leteni maji kwa wenye kiu,

15 Wanaukimbia upanga,

16 Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho.

17 Wanaume wavutao pinde walionusurika, mashujaa wa Kedari, watakuwa wachache.” Bwana, Mungu wa Israeli, amesema.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado