1 Hili ndilo aliloliona Isaya mwana wa Amozi kuhusu Yuda na Yerusalemu:
2 Katika siku za mwisho
3 Mataifa mengi yatakuja na kusema,
4 Atahukumu kati ya mataifa
5 Njooni, enyi nyumba ya Yakobo,
6 Umewatelekeza watu wako,
7 Nchi yao imejaa fedha na dhahabu,
8 Nchi yao imejaa sanamu,
9 Kwa hiyo mwanadamu atashushwa
10 Ingieni kwenye miamba,
11 Macho ya mtu mwenye majivuno yatanyenyekezwa
12 Bwana Mwenye Nguvu Zote anayo siku aliyoiweka akiba
13 kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana,
14 kwa milima yote mirefu
15 kwa kila mnara ulio mrefu sana
16 kwa kila meli ya biashara,
17 Majivuno ya mwanadamu yatashushwa,
18 nazo sanamu zitatoweka kabisa.
19 Watu watakimbilia kwenye mapango ndani ya miamba,
20 Siku ile, watu watawatupia
21 Watakimbilia kwenye mapango miambani
22 Acheni kumtumainia mwanadamu,