1 Tazama sasa, Bwana,
2 shujaa na mtu wa vita,
3 jemadari wa kikosi cha watu hamsini
4 Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao,
5 Watu wataoneana wao kwa wao:
6 Mtu atamkamata mmoja wa ndugu zake
7 Lakini siku hiyo atapiga kelele akisema,
8 Yerusalemu inapepesuka,
9 Nyuso zao zinavyoonekana zinashuhudia dhidi yao,
10 Waambie wanyofu itakuwa heri kwao,
11 Ole kwa watu waovu! Maafa yapo juu yao!
12 Vijana wanawatesa watu wangu,
13 Bwana anachukua nafasi yake mahakamani,
14 Bwana anaingia katika hukumu
15 Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu
16 Bwana asema,
17 Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni;
18 Katika siku ile Bwana atawanyangʼanya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo,
19 vipuli, vikuku, shela,
20 vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi,
21 pete zenye muhuri, pete za puani,
22 majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha,
23 vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.
24 Badala ya harufu ya manukato kutakuwa na uvundo;
25 Wanaume wako watauawa kwa upanga,
26 Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia,