Isaías 1

SWHONEN

1 Maono kuhusu Yuda na Yerusalemu ambayo Isaya mwana wa Amozi aliyaona wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.

2 Sikieni, enyi mbingu! Sikilizeni, enyi dunia!

3 Ngʼombe anamjua bwana wake,

4 Lo! Taifa lenye dhambi,

5 Kwa nini mzidi kupigwa?

6 Kutoka wayo wako wa mguu hadi kwenye utosi wa kichwa chako

7 Nchi yenu imekuwa ukiwa,

8 Binti Sayuni ameachwa kama kipenu

9 Kama Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote

10 Sikieni neno la Bwana,

11 Bwana anasema, “Wingi wa sadaka zenu,

12 Mnapokuja kujihudhurisha mbele zangu,

13 Acheni kuniletea sadaka zisizokuwa na maana!

14 Sikukuu zenu za Miandamo ya Mwezi, na sikukuu zenu zilizoamriwa:

15 Mnaponyoosha mikono yenu katika maombi,

16 jiosheni na mkajitakase.

17 jifunzeni kutenda mema!

18 “Njooni basi tuhojiane,”

19 Kama mkikubali na kutii,

20 lakini kama mkikataa na kuasi,

21 Tazama jinsi mji uliokuwa mwaminifu

22 Fedha yenu imekuwa takataka,

23 Watawala wenu ni waasi,

24 Kwa hiyo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,

25 Nitauelekeza mkono wangu dhidi yenu,

26 Nitawarudishia waamuzi wenu kama ilivyokuwa siku za zamani,

27 Sayuni itakombolewa kwa haki,

28 Lakini waasi na wenye dhambi wote wataangamizwa,

29 “Mtaaibika kwa sababu ya hiyo mialoni

30 Mtakuwa kama mwaloni wenye majani yanayonyauka,

31 Mtu mwenye nguvu atatoweka kama majani makavu yawakayo moto,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado