1 Bwana atamhurumia Yakobo,
2 Mataifa watawachukua
3 Katika siku Bwana atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili,
4 utaichukua dhihaka hii dhidi ya mfalme wa Babeli:
5 Bwana amevunja fimbo ya mwovu,
6 ambayo kwa hasira waliyapiga mataifa
7 Nchi zote ziko kwenye mapumziko na kwenye amani,
8 Hata misunobari na mierezi ya Lebanoni
9 Kuzimu kote kumetaharuki
10 Wote wataitikia,
11 Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu,
12 Tazama jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,
13 Ulisema moyoni mwako,
14 Nitapaa juu kupita mawingu,
15 Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu,
16 Wale wanaokuona wanakukazia macho,
17 yule aliyeifanya dunia kuwa jangwa,
18 Wafalme wote wa mataifa wamelala kwa heshima
19 Lakini wewe umetupwa nje ya kaburi lako
20 Hutajumuika nao kwenye mazishi,
21 Andaa mahali pa kuwachinjia wanawe
22 Bwana Mwenye Nguvu Zote asema,
23 “Nitaifanya kuwa mahali pa bundi,
24 Bwana Mwenye Nguvu Zote ameapa,
25 Nitamponda Mwashuru katika nchi yangu,
26 Huu ndio mpango uliokusudiwa kwa ajili ya ulimwengu wote,
27 Kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote amekusudia,
28 Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipofariki:
29 Msifurahi, enyi Wafilisti wote,
30 Maskini kuliko maskini wote watapata malisho,
31 Piga yowe, ee lango! Bweka, ee mji!
32 Ni jibu gani litakalotolewa