Isaías 15

SWHONEN

1 Neno kuhusu Moabu:

2 Diboni anakwea hadi kwenye hekalu lake,

3 Wamevaa nguo za magunia barabarani,

4 Heshboni na Eleale wanalia,

5 Moyo wangu unamlilia Moabu;

6 Maji ya Nimrimu yamekauka

7 Kwa hiyo mali waliyoipata na kujiwekea akiba

8 Mwangwi wa kilio chao umefika hadi mpakani mwa Moabu,

9 Maji ya Dimoni yamejaa damu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado