1 Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:
2 Twekeni bendera juu ya mlima usio na kitu,
3 Nimewaamuru watakatifu wangu;
4 Sikilizeni kelele juu ya milima,
5 Wanakuja kutoka nchi za mbali sana,
6 Ombolezeni, kwa maana siku ya Bwana i karibu,
7 Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea,
8 Hofu itawakamata,
9 Tazameni, siku ya Bwana inakuja,
10 Nyota za mbinguni na makundi ya nyota
11 Nitauadhibu ulimwengu kwa ajili ya uovu wake,
12 Nitawafanya wanadamu kuwa adimu kuliko dhahabu safi,
13 Kwa hiyo nitazifanya mbingu zitetemeke,
14 Kama swala awindwaye,
15 Yeyote atakayetekwa atapasuliwa tumbo,
16 Watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande
17 Tazama, nitawachochea Wamedi dhidi yao,
18 Mishale yao itawaangusha vijana,
19 Babeli, johari ya falme,
20 Hautakaliwa na watu kamwe
21 Lakini viumbe wa jangwani watalala huko,
22 Fisi watalia ndani ya ngome zake,