Isaías 10

SWHONEN

1 Ole wao wawekao sheria zisizo za haki,

2 kuwanyima maskini haki zao

3 Mtafanya nini siku ya kutoa hesabu,

4 Hakutasalia kitu chochote,

5 “Ole kwa Ashuru, fimbo ya hasira yangu,

6 Ninamtuma dhidi ya taifa lisilomjua Mungu,

7 Lakini hili silo analokusudia,

8 Maana asema, ‘Je, wafalme wote

9 Je, Kalno hakutendwa kama Karkemishi?

10 Kama vile mkono wangu ulivyotwaa falme za sanamu,

11 je, nisiishughulikie Yerusalemu na sanamu zake

12 Bwana atakapokuwa amemaliza kazi yake yote dhidi ya Mlima Sayuni na Yerusalemu, atasema, “Nitamwadhibu mfalme wa Ashuru kwa ajili ya majivuno ya ukaidi wa moyo wake na kutazama kwa macho yenye dharau.”

13 Kwa kuwa anasema:

14 Kama mtu atiavyo mkono kwenye kiota,

15 Je, shoka laweza kujigamba kuwa na nguvu zaidi

16 Kwa hiyo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,

17 Nuru ya Israeli itakuwa moto,

18 Fahari ya misitu yake na mashamba yenye rutuba

19 Nayo miti inayobaki katika misitu yake itakuwa michache sana

20 Katika siku ile, mabaki ya Israeli,

21 Mabaki watarudi, mabaki wa Yakobo

22 Ingawa watu wako, ee Israeli, ni wengi kama mchanga wa pwani,

23 Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, atatekeleza

24 Kwa hiyo, hili ndilo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo:

25 Bado kitambo kidogo sana hasira yangu dhidi yenu itakoma,

26 Bwana Mwenye Nguvu Zote atawachapa kwa mjeledi,

27 Katika siku hiyo mzigo wao utainuliwa kutoka mabegani mwenu,

28 Wanaingia Ayathi,

29 Wanavuka kivukoni, nao wanasema,

30 Piga kelele, ee Binti Galimu!

31 Madmena inakimbia;

32 Siku hii ya leo watasimama Nobu;

33 Tazama, Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,

34 Atakata vichaka vya msitu kwa shoka;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado