Isaías 11

SWHONEN

1 Chipukizi litatokea kutoka shina la Yese,

2 Roho wa Bwana atakaa juu yake,

3 naye atafurahia kumcha Bwana.

4 bali kwa uadilifu atahukumu wahitaji,

5 Haki itakuwa mkanda wake

6 Mbwa mwitu ataishi pamoja na mwana-kondoo,

7 Ngʼombe na dubu watalisha pamoja,

8 Mtoto mchanga atacheza karibu na shimo la nyoka,

9 Hawatadhuru wala kuharibu

10 Katika siku hiyo, Shina la Yese atasimama kama bendera kwa ajili ya mataifa. Mataifa yatakusanyika kwake, na mahali pake pa kupumzikia patakuwa utukufu.

11 Katika siku hiyo Bwana atanyoosha mkono wake mara ya pili kurudisha mabaki ya watu wake waliosalia kutoka Ashuru, Misri, Pathrosi, Kushi, Elamu, Babeli, Hamathi na kutoka visiwa vya baharini.

12 Atainua bendera kwa mataifa

13 Wivu wa Efraimu utatoweka,

14 Watawashukia katika miteremko ya Wafilisti

15 Bwana atakausha

16 Itakuwepo njia kuu kwa mabaki ya watu wake

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado