1 Mkumbuke Muumba wako
2 kabla jua na nuru,
3 siku ile walinzi wa nyumba watakapotetemeka,
4 wakati milango ya kuingia barabarani itakapofungwa
5 wakati watu watakapoogopa kilichoinuka juu
6 Mkumbuke Muumba wako: kabla haijakatika kamba ya fedha,
7 nayo mavumbi kurudi ardhini yalikotoka,
8 Mhubiri asema, “Ubatili! Ubatili!
9 Mhubiri hakuwa tu na hekima, bali aliwagawia watu maarifa pia. Alitafakari na kutafiti na akaweka katika utaratibu mithali nyingi.
10 Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.
11 Maneno ya wenye hekima ni kama mchokoro, mithali zao zilizokusanywa pamoja ni kama misumari iliyogongomewa ikawa imara, yaliyotolewa na Mchungaji mmoja.
12 Tena zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo, hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, nako kusoma sana huuchosha mwili.
13 Hii ndiyo jumla ya maneno;
14 Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi,