1 Tupa mkate wako juu ya maji,
2 Wape sehemu watu saba, naam hata wanane,
3 Kama mawingu yamejaa maji,
4 Yeyote atazamaye upepo hatapanda,
5 Kama vile usivyofahamu njia ya upepo,
6 Panda mbegu yako asubuhi,
7 Nuru ni tamu,
8 Hata kama mtu ataishi miaka mingi kiasi gani,
9 Furahi ewe kijana, wakati ungali kijana,
10 Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni mwako